Eneo bunge la Westlands

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Eneo bunge la Westlands ni eneo la uchaguzi nchini Kenya. Ni mojawapo kati ya maeneo bunge kumi na saba ya Kaunti ya Nairobi. Eneo la bunge hili lote liko ndani ya eneo la Baraza la Mji wa Nairobi. Lilikuwa linajulikana kama Eneo bunge la Kaskazini mashariki mwa Nairobi katika uchaguzi wa mwaka wa 1963,kisha kama Eneo bunge la Parklands na tangu uchaguzi wa mwaka wa 1988, limejulikana kama eneo bunge la Westlands.

Eneo bunge la Westlands lina baadhi ya maeneo ya mapato ya juu mjini Nairobi, vilevile maeneo duni kama Kangemi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search